Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ana-apply appeal to pity which is falacy
Mkuu is not fallacy?
Na Pinda juzi kasaini Mkataba huko USA ule nao vipi ? Hauna matata hata kidogo ?Au ni siasa tu kila mahali ?
Ana-apply appeal to pity which is falacy
Hivi ule alioingia kule kwa wazungu kuwamilikisha ardhi yetu mpaka mkataba unapingwa na taasisi nyingine za kimataifa ndio uingiaji mzuri wa mikataba?
Mafisadi wana nguvu sana...
mkuu is not fallacy?
Na pinda juzi kasaini mkataba huko usa ule nao vipi ? Hauna matata hata kidogo ?au ni siasa tu kila mahali ?
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Hawana nguvu zozote ni ujinga tu.
Yeye ni sehemu ya tatizo, shida ya huyu mzee ni kulalamika,,,,, ndio hawa mnaotuandalia 2015, kazi tunayo yeye alie, wananchi walie, usafi peke yake hautoshi kama mamlaka umepewa/tumekupa afu unalalamika badala ya kuchukua hatua,,, du, heri mimi sijasemaWaziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Viongozi wasio na matumaini hawawezi kuwapa matumaini watanzania!!!!!hopelessWaziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Yeye anakerwa tu unataka achukue action kwani hajui yaliyomtokea puani Mwa maembe?tehe ataishia kusema tu uwezo wa kuwafuatilia hana, mwenzie sokoine mbona alidili sambamba na wahujumu uchumi, yeye anashindwa nini?
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011