KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda, amesema wakati umefika kwa wawekezaji wa kimataifa, kuangalia uwezekano wa kuwekeza rasilimali zao katika miundombinu ya kusafirishia gesi asilia kama njia ya kusaidia kukuza uchumi wa Tanzania.
Hawa wawekaezaji tulionao wa Gold, Diamond, Tanzanite wamekuza uchumi?
Hawa wawekaezaji tulionao wa Gold, Diamond, Tanzanite wamekuza uchumi?