anahitimisha mjadala wa hotuba ya rais kwa kufanya comparison ya kile kilichokuwapo kabla ya uhuru akilinganisha na leo, nachoona mimi anapwaya kujaribu kulinganisha maendeleo ya watu ya miaka ya 1960 ambapo idadi kupwa ya watu waliopo sasa wana wastani wa miaka 25 hadi 30, kimsingi hajaeleweka anatumia nguvu kubwa sana kujieleza:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela: