Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hii kwani huwa wanaapa na vitabu vitakatibu kisha wanakuja kufanya kinyume chake
Kwani alisema yeye anaimani ya dini gani??Msimhukumu inawezekana akawa kama Kingunge,dini pembeni!
Pinda ni mtu ambae siku zote amekua na guilty consiousness kubwa sana..
Anaogopa kumhusisha mnyaazi mungu kwenye udhalimu na ghilba walizofanya. Anatambua uwepo wao madarakani hauna chembe ya baraka za mungu maana ni kinyume kabisa na mapenzi ya allah. Aanogopa adhabu kali zitazowaangukia kwa kuendelea kumdhihaki mola.
Mungu aliwapa watu nguvu na mgombea wetu na watu wote tulimchagua ila utawala huu kwa ghiliba, mabavu na hila, wameweka utawala wao. Wanajua fika kwamba mungu hakupanga wawe wao...
Pinda anahofu.. ingawa tunamjua ni mkristo, ameshindwa kumhusisha muumba kwenye kiapo chake maana anajua hajaipata hiyo nafasi kwa mipango ya mungu.