Pinda aapa bila Msaafu wala Biblia

Gurudumu

JF-Expert Member
Feb 5, 2008
2,349
261
Nimeipenda hii kwani huwa wanaapa na vitabu vitakatibu kisha wanakuja kufanya kinyume chake
 
Kuapa bila msahafu wala Biblia maana yake nini? Ninavyojua ni kuwa kiapo ni kumweka Mungu kuwa shahidi wa unayosema wakati wa kiapo. Akikiuka kiapo atawajibika kwa nani?
 
Kwani alisema yeye anaimani ya dini gani??Msimhukumu inawezekana akawa kama Kingunge,dini pembeni!
 
:bowl:mmesahau yaliyompata kaijage aliposahau cd ya wimbo wa taifa siku ya staz na moroko? sasa tumsake kaijage mwingine aliyesahau misahau chamwino!!!!:A S angry::smile-big:
 
Anajaribu kufukia kosa la bosi wake kuapa bila msahafu ili ionekane kwamba kuna kuapa HURIA nchini
 
Wadau mnaojua sheria, hii ya kuapa bila kitabu cha dini hali wewe ni mwuumini wa dini fulani, ikoje kikatiba hii? Katiba inasema nini kuhusu hili?
 
nilikuwa sijapiata hii
kwa hiyo kaapa bila kitabu kitakatifu!!!!?

dhamira inalia kwa mbali kwa hawako pale kwa ridhaa ya watz bali kwa wizi
 
Pinda ni mtu ambae siku zote amekua na guilty consiousness kubwa sana..

Anaogopa kumhusisha mnyaazi mungu kwenye udhalimu na ghilba walizofanya. Anatambua uwepo wao madarakani hauna chembe ya baraka za mungu maana ni kinyume kabisa na mapenzi ya allah. Aanogopa adhabu kali zitazowaangukia kwa kuendelea kumdhihaki mola.

Mungu aliwapa watu nguvu na mgombea wetu na watu wote tulimchagua ila utawala huu kwa ghiliba, mabavu na hila, wameweka utawala wao. Wanajua fika kwamba mungu hakupanga wawe wao...

Pinda anahofu.. ingawa tunamjua ni mkristo, ameshindwa kumhusisha muumba kwenye kiapo chake maana anajua hajaipata hiyo nafasi kwa mipango ya mungu.
 
Kwani alisema yeye anaimani ya dini gani??Msimhukumu inawezekana akawa kama Kingunge,dini pembeni!

Ni mkatoliki. alikuwa anasali kanisa katolik Hananasif Kinondoni hadi alipoteuliwa kuwa PM. sijui kama bada anasali pale. Kama amebadilika basi tungetangaziwa, au siyo
 
>>>Du hii sikuishtukia kwa kweli!!
>>>Kumbe ilikuwa hivi!!!
>>> Je hana dini au???
>>>Kuapa bila msahafu wala Biblia maana yake nini?
>>> Inamaana naye kashakuwa mpagani??
Maana ninavyojua yeye ni Mkristo kama alivyojinasibu wakati alipochaguliwa mara ya kwanza Tena akatuambia ni mtoto wa Katekista. Katekista ni kiongozi muinjilist wa KIKATOLIKI.
>>> Nahisi kuna madhambi yanakuja mbele na yeye anayajua ndo maana ameogopa kufanya hivyo....kitu ambacho si afiki hata kidogo
 
Pinda ni mtu ambae siku zote amekua na guilty consiousness kubwa sana..

Anaogopa kumhusisha mnyaazi mungu kwenye udhalimu na ghilba walizofanya. Anatambua uwepo wao madarakani hauna chembe ya baraka za mungu maana ni kinyume kabisa na mapenzi ya allah. Aanogopa adhabu kali zitazowaangukia kwa kuendelea kumdhihaki mola.

Mungu aliwapa watu nguvu na mgombea wetu na watu wote tulimchagua ila utawala huu kwa ghiliba, mabavu na hila, wameweka utawala wao. Wanajua fika kwamba mungu hakupanga wawe wao...

Pinda anahofu.. ingawa tunamjua ni mkristo, ameshindwa kumhusisha muumba kwenye kiapo chake maana anajua hajaipata hiyo nafasi kwa mipango ya mungu.

Could be right bro. Wengi wanasema hivyo
 
yeye ni Mbunge wa Katavi?? hili neno nasikia linatokana na Mzuka au mzimu uliokuwa na nguvu huko kwao sasa inawezekana mashati ni kutoshika Kitabu cha DINI>>>>:A S angry:
 
Anajua alichowafanyia wananchi wa jimbo la Sumbawanga Mjini, kisa kutishiwa na JK kuwa asipochakachua ataukosa u-PM
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom