Pima uzazi kabla ya ndoa, kuna mateso ukigundua sio mzima viungo vya uzazi

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,295
10,467
Ni ushauri wa muhimu.

Katika kazi niifanyayo kwa Sasa nimekutana na wakaka na wadada wenye tatizo la uzazi na unakuta washafunga ndoa.

Nikupe case study moja, Kuna afisa mmoja mkenya Ana pesa nzuri tu, kamtokea binti mrembo wa Kanda ya Kati, ndani ya wiki 2 wakafunga ndoa. Asee binti karudi analialia eti jamaa mnara unasoma E sometimes 0 km!

Kumbe jamaa keshaoa twice akaacha. Ndoa ya kwanza alioa mkewe akapata kids 3, alipogombana na mkewe akataka kumtimua alidai watoto, mama akamwambia hapa hauna mtoto. Walipopima DNA kids wote holaa! Wakaachana. Sasa dada etu nae kaingia cha kike!

Ufanye nini basi?

1. Usikimbilie ndoa. Fanya vipimo kwanza ujue kama mwenzio ni mzima kibaiolojia.

2. Kama lengo lako ni kuwa na watoto, mkapime afya ya uzazi. Je, mwanamke kizazi kipo salama? Mwanaume sperms Zina afya? Anasimamisha?

Siku hizi utoaji mimba ni mkubwa, hivyo Ile michokonoo ya kule mferejini Kuna uwezekano wa kukwangua visivyohitaji kukwanguliwa.

3. Uchumba uchukue muda basi. Ongea na wananzengo hata kisiri siri ujue mwenzi wako Ana tabia gani na background Yake ipoje.

4. Kuleni vizuri basi, vyakula vya vitamins hasa vitamin E, folic acid, coenzyme Q10, zinc, selenium na amino acid L-arginine, na L-carnitine hasa kwa strong health sperms.

5. Epuka mitindo inayoua kizazi mf kutoa mimba, ngono za kishetani shetani nk.

Inauma Sana kuolewa na mwenza mbovu. True Love ishaotaga mbawa, imebaki asilimia ndogo sana
 
Wazo lako ni zuri sana lakini je

Ikitokea umetia mimba alafu mtoto akazaliwa je huyo mtoto umejipanga kumleaa
 
Utakuta mwenzako anajua kabisa, ila hayupo tayari kukuambia ukweli.

Mwanamke anajua kabisa ameshatoa mimba mara kadhaa, tena kwa njia hatarishi lakini anakuficha. Mnaingia kwenye ndoa, utagonga mno. Utasali sana. Utasugua magoti mno.

Utamaliza wachungaji na manabii wote. Hospital zote utaenda kupima hakuna tatizo lolote la Hormones, siyo kwako siyo kwake.

Kumbe mwenzako anajua ukweli.

Ndugu yangu, yaepuke hayo kwa kufanya utafiti kabla ya kuoa.

Aisee!.
 
Kuna wanao bust kitu inainuka, ndo sometime anaoa fasta fasta!


Wapo wanaosimamisha ila risasi ni empty Chemba au manyoya manyoya!
Ukiwa na shida za namna hiyo kuoa should not be an option. Maana utajakufa tu na Presha za kuchapiwa ama kubambikiwa mtoto..

Bora ku-hit & ku-run.

Ikisimama una-hit, una-run.. Ikigoma Unanyuti kisha una-run, no hard feelings associated..
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom