Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
live inauma bana.
Unamkuta ameshashughulika nafasi kubwa na kijasho chembamba kinamtoka, keshalegezwa pale hajiwezi lol
shuka zote wameshaangusha chini, tena unakuta labda na nguo zao zimatapakaa sakafuni.
Shati liko karibu na mlango wa kuingia kwenye chumba, suruali ya mkaka na sketi ya mdada iko hapo, blauzi na bra viko half way kutoka mlangoni kwenda kwenye kitanda, vijiguo vilivyobaki viko vinaning'nia kwenye ncha ya kitanda kama vinataka kuanguka.
Hii inaonesha walivyokuwa wametingwa (how they wanted each other) hawakuwa na muda hata wa kuweka nguo zao vizuri.
no no no, acha nihisi tu.
Kweli kabsa ni heri kuhisi kufumania lol