Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Hivi huwa ni mboga au kitoweo?
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Hivi huwa ni mboga au kitoweo?
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Ni pm nije nikule!ni mboga and am one of them
hako ka red mama kulikoni?ni mboga and am one of them
pilipili ni mboga, na kiungo...
Anyway...
Nini tofauti ya mboga na kitoweo?