Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Hivi huwa ni mboga au kitoweo?
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa ni mboga au kitoweo?
Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili!
Nawasilisha.
Ni pm nije nikule!ni mboga and am one of them
hako ka red mama kulikoni?ni mboga and am one of them
pilipili ni mboga, na kiungo...
Anyway...
Nini tofauti ya mboga na kitoweo?