PILAU la Christimas mtaani kwetu lilinoga hasa....!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,806
15,379
attachment.php


Shaba tatu zimetulia pembeni zinasubiri zisulubiwe.....
 

Attachments

  • PILAU.JPG
    PILAU.JPG
    431.9 KB · Views: 1,261
Pilau za shughuli ama sherehe huwa hazichelewi kuwakwama watu shingoni huwa sijui ni tamu sana.:ranger:
 
mkuu Mtambuzi.mimi nilikuwa italian pub... palijaaa utafikiri kuna kigodoro
Remote hapo mahali ni jirani sana na mahali ninapoishi kwa hiyo sipendi sana kujivinyari maeneo hayo maana kuna totoz za kufa mtu na wakuda hawakawii kufikisha umbea kwa mama Ngina.....
 
Last edited by a moderator:
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom