Mimi kwenye pikipiki natafuta hii kitu tu CBR. Sema bei zimesimama ila najichanga View attachment 1284813
kwamba linaenda hadi 40,000,000!!!!!
Hapana boss. Labda mpya ila used za hapa kwa wahindi nimeziona Mil 5 hadi 10 itategemea na model, mwaka, ukubwa wa injini, hali ya uchakavu na unauziwa na owner au dalali.
Ila nyingi sana Mil 6-7 na kali sana. Sema ndio hivo kila mtu ukimwambia anasema iyo hela bora ununue IST.
Kuna Honda CBR 600 nimeona kwa jamaa wanaitwa Astraline logistics bei ya kuinunua bila makato ya kodi ni million 3.8 .Mimi kwenye pikipiki natafuta hii kitu tu CBR. Sema bei zimesimama ila najichanga View attachment 1284813
Nawapataje hawa mkuu.Kuna Honda CBR 600 nimeona kwa jamaa wanaitwa Astraline logistics bei ya kuinunua bila makato ya kodi ni million 3.8 .
Ukiweka kodi na usajili inaweza kufika mil 5.
Wapo Dar maeneo ya Upanga na Kinondoni, wacheki Instagram kwenye akaunti yao Astraline Logistics.Nawapataje hawa mkuu.