displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,950
- 1,039
- Thread starter
- #21
Shukrani maana habari imepita chap chap tu... wacha nipitie huo uzi....!!Hii pikipiki taarifa zake zilisambaa siku nyingi sana mitandaoni, hadi baadhi ya magazeti yakaandika.
Soma hapa uweze kupata upembuzi zaidi
Ukweli kuhusu pikipiki ya maajabu Dar