Truth guy.
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 396
- 195
lugha aliyokuwa akiongea yule mrembo,sikuweza kuielewa ila nilihisi anaongea kitutsi,alipomaliza kuongea,aliniambia kuwa yeye hajui popote kunakopatikana silaha,alinidadisi mi ni nani hasa? mwishoni alijiridhisha kuwa lazima nitakuwa askari mpelelezi,ktk chunguzi nyingi nilizowahi kufanya,nikiri tu kuwa huu ulikuwa uchunguzi wa kizembe sana,na sijui kwa nini nilijisahau kiasi hiki,usiku ule niliachana na yule mrembo nikamlipa haki yake naye kuondoka,ilikuwa yapata majira ya saa 5 usiku wakati roho yangu ilipogoma kabisa kulala kwenye ile gest,niliamka na mara nikawa nasikia sauti moyoni mwangu ikiniamuru niondoke pale kwani si sehemu salama kwangu,hali ya ule mji mdogo ilikuwa tulivu sana,nilijiuliza niende wapi usiku ule? wakati nikiwa ktk hali hiyo ya sintofahamu,ghafla nilisikia kelele nje ya gest na sauti ya mwanamke akilia,JE NINI KITAENDELEA? USIKOSE KUSOMA PART-3 YA STORY HII YA KWELI YA KUSISIMUA,WENGINE ITAWALIZA.