C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Kumekuwa na kuibuka kwa applications ambazo zinamfanya mtu kuweza kuagiza chakula online na kuletewa kwa delivery, ambazo ni piki na foodsasa, app hizi zinasaidia sana kwenye shughuli za kuagiza vyakula kutoka kwenye restaurants mbalimbali nchini
Hivyo basi ninashauri piki na foodsasa wafanye yafuatayo ambayo kila mmoja akiweza kufanya yafuatayo watafanikiwa sana
Kwanza waunganishe kampuni zao na kuja na startup moja iitwayo FoodPiki then wafanye yafuatayo
1) Wafungue ofisi EU, lengo la kufungua ofisi EU kwa maana ulaya ni kuwa "close to the money" ni rahisi kwa mwekezaji kuwekeza katika kampuni yenye ofisi ulaya na marekani hata kama operation ni Africa based ila wawe na operation system Berlin (Ujerumani)
2) Operation mind iwe ni Sadc region kwa maana nchi kusini mwa jangwa la sahara wasibase tu kwa Tanzania wakibase kwa Sadc region itasaidia kuvutia wawekezaji kuweka pesa zao pale
3) Watafute hela wa outcourse German companies hasa za Berlin pale katika kutengeneza app yao maana kwa sasa hizi app ni utumbo mtupu so ni bora watengeneze kwa wataalamu wa app ambao ni wa ujerumani ambao wanaweza kutengeneza delivery apps
4) Waandae mpango kazi wa ku rise seed investment ambao wanaweza kuanza kuandika kuomba Zaidi ya $1.2 na kuendelea
Wakifanya haya yote wategemee nini
Wategemee kununuliwa na kampuni kubwa kabisa ya delivery hero kampuni ya ujerumani ambao wao ndio kampuni inayomiliki apps za ku deliver chakula duniani wakimiliki kampuni ikiwemo kampuni ya foodpanda iliyonunuliwa kwa$ 3.5 Billions, delivery hero pia wamenunua kampuni za middle east, south America, asia za ku deliver chakula
Delivery hero wanataka kuja kwa soko la Africa lakini hakuna kampuni Giant ya Delivery App
So nimeona Foodsasa na Piki wakaamua kila mmoja wakaunganisha nguvu na kuanzisha startup moja ya food delivery kwa kuunganisha resources wakaiita FoodPiki
Maeneo ambayo watalenga ni pamoja na Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Malawi, Zambia, Namibia, Angola, Congo brazaville, South Africa na Mauritius bado hakuna soko la uhakika la food delivery japokuwa demand ipo juu sana
Hivyo fanyeni yafuatayo na msishangae mkanunuliwa na delivery hero kwa Zaidi ya 100+ million
Hivyo basi ninashauri piki na foodsasa wafanye yafuatayo ambayo kila mmoja akiweza kufanya yafuatayo watafanikiwa sana
Kwanza waunganishe kampuni zao na kuja na startup moja iitwayo FoodPiki then wafanye yafuatayo
1) Wafungue ofisi EU, lengo la kufungua ofisi EU kwa maana ulaya ni kuwa "close to the money" ni rahisi kwa mwekezaji kuwekeza katika kampuni yenye ofisi ulaya na marekani hata kama operation ni Africa based ila wawe na operation system Berlin (Ujerumani)
2) Operation mind iwe ni Sadc region kwa maana nchi kusini mwa jangwa la sahara wasibase tu kwa Tanzania wakibase kwa Sadc region itasaidia kuvutia wawekezaji kuweka pesa zao pale
3) Watafute hela wa outcourse German companies hasa za Berlin pale katika kutengeneza app yao maana kwa sasa hizi app ni utumbo mtupu so ni bora watengeneze kwa wataalamu wa app ambao ni wa ujerumani ambao wanaweza kutengeneza delivery apps
4) Waandae mpango kazi wa ku rise seed investment ambao wanaweza kuanza kuandika kuomba Zaidi ya $1.2 na kuendelea
Wakifanya haya yote wategemee nini
Wategemee kununuliwa na kampuni kubwa kabisa ya delivery hero kampuni ya ujerumani ambao wao ndio kampuni inayomiliki apps za ku deliver chakula duniani wakimiliki kampuni ikiwemo kampuni ya foodpanda iliyonunuliwa kwa$ 3.5 Billions, delivery hero pia wamenunua kampuni za middle east, south America, asia za ku deliver chakula
Delivery hero wanataka kuja kwa soko la Africa lakini hakuna kampuni Giant ya Delivery App
So nimeona Foodsasa na Piki wakaamua kila mmoja wakaunganisha nguvu na kuanzisha startup moja ya food delivery kwa kuunganisha resources wakaiita FoodPiki
Maeneo ambayo watalenga ni pamoja na Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Malawi, Zambia, Namibia, Angola, Congo brazaville, South Africa na Mauritius bado hakuna soko la uhakika la food delivery japokuwa demand ipo juu sana
Hivyo fanyeni yafuatayo na msishangae mkanunuliwa na delivery hero kwa Zaidi ya 100+ million