Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Mahitaji:
Njia
1.Katika sufuria weka mafuta,vitunguu ,na carry powder.Kaanga pamoja adi vitunguu viive,Ongeza nyanya ya tunda na nyanya ya kopo, kaanga adi nyanya iive.
3.Vinapoelekea kuiva,ongeza royco,chumvi na Karoti.Tingisha au zungusha sufuria ili kuchanganya ,Acha vichemke adi viive.Chakula tayari kwa kula.
Chakula hiki kikiiva kinatakiwa kubaki na mchuzi ambao ni rojo.Hivyo zingatia sana kipimo cha maji na mchuzi wa nyama unachoweka.Na hakikisha hukaushi mchuzi wote unapopika.
ENJOY MLO WAKO
- Ndizi za kupika(ndizi bukoba) kubwa 5.Menya,kata katikati ukipenda
- Viazi ulaya 4 vikubwa.kata katikati kwa urefu
- Nyama kilo 1.chemsha adi iive
- Nyanya 4 kubwa.sugua au saga
- Nyanya ya kopo kijiko 1 cha chai
- Vitunguu 2 vikubwa
- Carry powder kijiko 1 cha chai
- Karoti 2 kubwa.kata duara
- Royco mchuzi mix,kijiko 1 cha chai
- Mafuta ya kupikia,kiasi upendacho
- Chumvi
Njia
1.Katika sufuria weka mafuta,vitunguu ,na carry powder.Kaanga pamoja adi vitunguu viive,Ongeza nyanya ya tunda na nyanya ya kopo, kaanga adi nyanya iive.
- Vitunguu viive lakini visiwe na rangi ya brauni iliyokooza
- Ili kujua nyanya imeiva ,nyanya na mafuta vitatengana ndani ya sufuria.Nyanya isipoiva matokeo ya pishi hili hayatakua mazuri kama itakiwavyo.
-
- Pika chakula hiki kwa moto mdogo (simmer).Moto ukiwa mkali,mchuzi utakauka kabla ya ndizi na viazi kuiva na utalazimika kuogeza maji na utakua umeharibu pishi hili.
3.Vinapoelekea kuiva,ongeza royco,chumvi na Karoti.Tingisha au zungusha sufuria ili kuchanganya ,Acha vichemke adi viive.Chakula tayari kwa kula.
Chakula hiki kikiiva kinatakiwa kubaki na mchuzi ambao ni rojo.Hivyo zingatia sana kipimo cha maji na mchuzi wa nyama unachoweka.Na hakikisha hukaushi mchuzi wote unapopika.
ENJOY MLO WAKO