jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Ilitokea zama za utawala shupavu wa misri.
Pharao aliwatumikisha wana wa Mungu na kuwatesa, hakuwapa nafasi ya kuabudu sawasawa na matakwa ya Mungu.
Hata walipoomba 'kutoka' Pharao aliwakatalia.
Pharao alipigwa mapigo sita akayavumilia.
Pigo la Saba ambalo liliua kila mzaliwa wa kwanza wa kila kiumbe misri ukiondoa wale walionyunyiza damu ya mwanakondoo kwenye miimo ya nyumba zao siku malaika muharibu alipoitembelea misri, ndiposa pharao akawaacha waende wao na mali zao.
Tujiandae kutoka 'exodus'
Walio chato wasirudi mjini maana malaika mharibu atafika huko pia.
======isomeke 'Liliulegeza' kwenye heading badala ya liliueegeza ======
=====DEVELOPING STORY ========
Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020) - JamiiForums
Pharao aliwatumikisha wana wa Mungu na kuwatesa, hakuwapa nafasi ya kuabudu sawasawa na matakwa ya Mungu.
Hata walipoomba 'kutoka' Pharao aliwakatalia.
Pharao alipigwa mapigo sita akayavumilia.
Pigo la Saba ambalo liliua kila mzaliwa wa kwanza wa kila kiumbe misri ukiondoa wale walionyunyiza damu ya mwanakondoo kwenye miimo ya nyumba zao siku malaika muharibu alipoitembelea misri, ndiposa pharao akawaacha waende wao na mali zao.
Tujiandae kutoka 'exodus'
Walio chato wasirudi mjini maana malaika mharibu atafika huko pia.
======isomeke 'Liliulegeza' kwenye heading badala ya liliueegeza ======
=====DEVELOPING STORY ========
Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020) - JamiiForums