Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,785
- Thread starter
- #41
YEHODAYA una personal grudges na Waziri wa mambo ya ndani?
Jr
Simbachawene mwenyewe ndie kaanza kujichemsha alisema atatumia wataalamu wa polisi zaidi kwenye utendaji
ghafla huyo kajiibukia kivyake na kuanza kuponda imani za watu mbele ya waandishi wa habari na kuita makanisa ya watu vibanda imani!!!! nyumba ya mtu ya kulala unaweza iita kibanda? sembuse nyumba ya kuabuadia mtu? unaidharau kiasi hicho na kuiita kibanda? huna adabu hata kidogo kisa ohhh mimi waziri.!!!! anyway uwaziri kauanzia mguu wa kushoto badala ya wa kulia
Jr