Labda bashite afutwe kazi.Kwa hio sasa hivi hamna tena kutekana?
Wameondolewa rasmi kwenye nafasi za juu na kupelekwa wilayani kama Field Officers.
Wamenyang’anywa magari ya kifahari ambayo yalikuwa yanawapa viburi mjini na sasa wanaugulia maumivu.
Tutarajie mabadiliko chanya katika taasisi? Tuwape muda!
Ama wewe ni mmoja wa kitengo cha propaganda, au hujui wanasiasa wanavyo cheza na akili zetu. Tunaelekea kwenye uchaguzi. TISS ni kitengo ambacho nipo maskioni mpaka kwa mtoto ambaye hajaongea. Si kwa sifa nzuri, bali ujambazi wa kidola. Yote yafanyika ni kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Ni wale wale, leo mpaka dahali.Wameondolewa rasmi kwenye nafasi za juu na kupelekwa wilayani kama Field Officers.
Wamenyang’anywa magari ya kifahari ambayo yalikuwa yanawapa viburi mjini na sasa wanaugulia maumivu.
Tutarajie mabadiliko chanya katika taasisi? Tuwape muda!
Usiwape dhamana wao ni kuhakikisha CCM inashinda tu na wapinzani wanobaki ni wale mamluki tu, wajahidina wasinyanyuke popote walipoWatu pekee wanaoweza kuwapa raha Watanzania (kuikomboa nchi hii) ni TISS,enyi TISS tupeni raha ,Tufanyeni tuwe watu wenye furaha hapa Duniani,Watanzania huwa muda mwingi hatuna raha.Nyie ndio mnaweza kuikomboa nchi hii,nyie tendeni kazi zenu kwa manufaa ya wengi,.Tuko milioni zaid ya 40 WENGI HATUNA RAHA.sikilizeni kilio cha wengi.