Pigo jingine CUF: sekretarieti ya vijana Bara yajiuzulu.

Wamemwibia nani mkuu , wewe bado ni kijana acha kuropoka
Miaka Yote hamsini bado tunarudi nyuma hata reli na viwanda tulivyo vikuta vimekufa kama sio wizi ni nini? Halafu Kifo chenu kinawadia endapo yule mwamba wa kaskazini lowassa mtamzuia kuchukua form japo ubavu huo hamna
 
Miaka Yote hamsini bado tunarudi nyuma hata reli na viwanda tulivyo vikuta vimekufa kama sio wizi ni nini? Halafu Kifo chenu kinawadia endapo yule mwamba wa kaskazini lowassa mtamzuia kuchukua form japo ubavu huo hamna

Mkuu huyo mwamba wenu yaani EL nasikie kuna MoU kati yake na cdm
 
Rest in Peace CUF aka Uamsho
acha mambo usio yajuwa cuf itabaki kuwa cuf na uamsho ni vitu viwili tofauti wala havihusiani uamsho inapigania z'bar huru cuf sera yao serakali tatu au lina wachoma hili la uamsho kudai maslahi ya z'bar ndio mnalitupia mabaya lakini juwa siku zinahesabika za muungano
 
Katika ule muendelezo WA kuangamia kwa chama cha wananchi CUF almaarufu Ngangari, Uongozi WA Sekretarieti ya Vijana Taifa ya chama hicho Bara imejiuzulu rasmi hapo tar.08-06-2012.
Waliojiuzulu ni pamoja na Mwenyekiti wao MHE. Mohamed Babu, Naibu Katibu Mkuu WA Sekretarieti Bara MHE. Abubakar Kitogo, Mkurugenzi WA Fedha MHE. Maulid Said, Mkurugenzi WA Mafunzo na Mausiano Vijana MHE. Dalia Majid, Mkurugenzi WA Mipango na Uchaguzi MHE. Grace Mgumba.
Wengine ni Wajumbe WA Sekretarieti hiyo ambao ni Mussa Mbarouk (Diwani CUF - Tanga), Daalin Mlenga na Asumini Maringo Shayo.
Hili ni pigo jingine kubwa kwa Oganaizesheni hiyo HASA ukizingatia MIEZI michache aliyekuwa Mkurugenzi WA Sanaa na Utamaduni MHE. Omar Costantine kujiuzulu na kuhamia chama kipya cha ADC.
Tukio hili limetokea sambamba na Naibu Katibu Mkuu Bara MHE. Julius Mtatiro akiwa safarini kikazi mkoani Arusha kupoteza Laptop na nyaraka nyingine muhimu za chama.
Ndani ya Laptop hiyo kulikuwepo na MPANGO MKAKATI WA CHAMA TAIFA 2013/2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao WA 2015.

Same source.

Hayo majina dah!
 
Sibuda ndani CDM hana madhara kumfukuza ni Dakika moja tuu na hana cheo chochote lakini Lowassa ndani ya CCM ni mwamba ambao hautingishiki madhara yake hata kaburi la ccm halitaonekana
Monoama mbonyi? Jaribuni kumtimua Shibuda kama watanzania hawataanza kusema hapo zamani kulikuwa na chama kinaitwa chadema
 
Katika ule muendelezo WA kuangamia kwa chama cha wananchi CUF almaarufu Ngangari, Uongozi WA Sekretarieti ya Vijana Taifa ya chama hicho Bara imejiuzulu rasmi hapo tar.08-06-2012.
Waliojiuzulu ni pamoja na Mwenyekiti wao MHE. Mohamed Babu, Naibu Katibu Mkuu WA Sekretarieti Bara MHE. Abubakar Kitogo, Mkurugenzi WA Fedha MHE. Maulid Said, Mkurugenzi WA Mafunzo na Mausiano Vijana MHE. Dalia Majid, Mkurugenzi WA Mipango na Uchaguzi MHE. Grace Mgumba.
Wengine ni Wajumbe WA Sekretarieti hiyo ambao ni Mussa Mbarouk (Diwani CUF - Tanga), Daalin Mlenga na Asumini Maringo Shayo.
Hili ni pigo jingine kubwa kwa Oganaizesheni hiyo HASA ukizingatia MIEZI michache aliyekuwa Mkurugenzi WA Sanaa na Utamaduni MHE. Omar Costantine kujiuzulu na kuhamia chama kipya cha ADC.
Tukio hili limetokea sambamba na Naibu Katibu Mkuu Bara MHE. Julius Mtatiro akiwa safarini kikazi mkoani Arusha kupoteza Laptop na nyaraka nyingine muhimu za chama.
Ndani ya Laptop hiyo kulikuwepo na MPANGO MKAKATI WA CHAMA TAIFA 2013/2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao WA 2015.

Same source.
Laana ya kusapoti uchomaji wa makanisa zanzibar,si unaona hapo kwenye red?
 
Hamadi Rashidi bana anaangaika kweli. ADC Karibia nao wanafunga ndoa kama wenzao CUF wewe mpinzani wako ni CUF tu.
 
Wamemwibia nani mkuu , wewe bado ni kijana acha kuropoka
w
ameibia taifa na umma wa watanzania! epa! richmond! dowans! deep green! meremeta! radar! ndege ya rais! kuuza wanyama pori!mikataba michafu ya madini! kiwira! mchuchuma! just to mention a few !!
 
Huku ni mwanzo wa kufa kwa chama cha wananchi CUF? Au kuna usanii unaendelea hapo? jamani Bazazi! haelewi iwapo kuna mpangokazi wa kuihuisha CUF kwa viongozi waliopo sasa kwa kukosa mvuto wajiuzulu kuwapisha wengine au ndio njia moja ya makaburini (Kama ni makaburini kiwasalimie PONA, CCJ, nk).

Bazazi ni Bazazi

sio mwanzo, ni muendelezo. ilianzia pale wanachama wake wengi walipokihama na kuanzisha chama kipya hivi karibuni.
 
wana kazi sana hawa jamaa.. maalimu ndio alikua nguzo ya chama sasa hivi kaukwaa hana habri nao yuko zenji anakula bata tuu prof nae yuko out mda wote sijui watafanya nini mwaka huu???
 
Back
Top Bottom