Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
TUIOKOE CHADEMA KWA WABUNGE VITI MAALUM. VIBURI VYA VIONGOZI WAO VISIPOTEZE WATETEZI WA WANANCHI
TUANZE NA HISTORIA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2019.
Don Nalimison naanza kwa hoja:
CHADEMA ilijitoa Uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa na hivyo wagombea wote wa CCM nchi zima walipita bila kupingwa na hivyo CCM wakajitwalia Vijiji, Vitongoji na Mitaa kwa bwerere.
Pamoja na CHADEMA kujiondoa lakini hakuna kilichoharibika na mpaka leo Viongozi wa Serikali za Mitaa wanakula maisha tu. Kujitoa kwa CHADEMA kuliinufaisha CCM kushinda kwa kishindo.
NB: Unapopambania Demokrasia hutakiwi kujitoa; ni bora uanguke kuliko kumpa nafasi mpinzani wako. Kosa la CHADEMA ni ujuaji usio na faida.
TUANGALIE SASA UTEUZI WABUNGE VITI MAALUM BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2020.
Kama Chadema hawatapeleka Wabunge wao wa Viti Maalum hakuna chochote watakachofaidi zaidi ya kuwaachia CCM wafanye maamuzi bungeni, hata kwenye Mambo ya kijinga.
Kidogo kilichopo ndicho kitumike kuleta MABADILIKO. Ni heri moja yenye nguvu kuliko mbili isiyo na mashiko. Ni heri kupeleka hao wabunge wachache wakatie chachu bungeni kuliko kuwaachia Uhuru wote CCM.
Ruzuku ya trilioni mbili kuikosa Serikali kisa kukosekana wabunge wa upinzani ni sawa na bure maana CCM ndio Serikali wanaweza kubuni miradi au vyanzo vingine vya mapato na kufidia pengo la trioni mbili.
Hivyo haisaidii kuacha kupeleka wabunge Viti Maalum. Ni bora wateuliwe waende bungeni wakatetee hoja za wananchi na mapendekezo ya Chama na hoja za Chama.
NB: Piganieni kupata haki zenu kupitia wabunge watakao wawakilisha bungeni kwa hoja zitakazobeba msingi wa CHADEMA.
Mimi Don Nalimison najaribu kujenga hoja ya kuokoa jahazi tu.
Siku njema na karibuni Kahama, Shinyanga.
DON NALIMISON
TUANZE NA HISTORIA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2019.
Don Nalimison naanza kwa hoja:
CHADEMA ilijitoa Uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa na hivyo wagombea wote wa CCM nchi zima walipita bila kupingwa na hivyo CCM wakajitwalia Vijiji, Vitongoji na Mitaa kwa bwerere.
Pamoja na CHADEMA kujiondoa lakini hakuna kilichoharibika na mpaka leo Viongozi wa Serikali za Mitaa wanakula maisha tu. Kujitoa kwa CHADEMA kuliinufaisha CCM kushinda kwa kishindo.
NB: Unapopambania Demokrasia hutakiwi kujitoa; ni bora uanguke kuliko kumpa nafasi mpinzani wako. Kosa la CHADEMA ni ujuaji usio na faida.
TUANGALIE SASA UTEUZI WABUNGE VITI MAALUM BAADA YA UCHAGUZI MKUU 2020.
Kama Chadema hawatapeleka Wabunge wao wa Viti Maalum hakuna chochote watakachofaidi zaidi ya kuwaachia CCM wafanye maamuzi bungeni, hata kwenye Mambo ya kijinga.
Kidogo kilichopo ndicho kitumike kuleta MABADILIKO. Ni heri moja yenye nguvu kuliko mbili isiyo na mashiko. Ni heri kupeleka hao wabunge wachache wakatie chachu bungeni kuliko kuwaachia Uhuru wote CCM.
Ruzuku ya trilioni mbili kuikosa Serikali kisa kukosekana wabunge wa upinzani ni sawa na bure maana CCM ndio Serikali wanaweza kubuni miradi au vyanzo vingine vya mapato na kufidia pengo la trioni mbili.
Hivyo haisaidii kuacha kupeleka wabunge Viti Maalum. Ni bora wateuliwe waende bungeni wakatetee hoja za wananchi na mapendekezo ya Chama na hoja za Chama.
NB: Piganieni kupata haki zenu kupitia wabunge watakao wawakilisha bungeni kwa hoja zitakazobeba msingi wa CHADEMA.
Mimi Don Nalimison najaribu kujenga hoja ya kuokoa jahazi tu.
Siku njema na karibuni Kahama, Shinyanga.
DON NALIMISON