Piga kura yako sasa: Wangapi bado wana imani na straika wa timu yetu

Piga kura yako sasa: Wangapi bado wana imani na straika wa timu yetu?


  • Total voters
    121
Huyu striker hafai yeye kule mbele anapaisha kila akipasiwa kibaya zaidi alimpigia debe beki tatu wa Call me J baada ya beki tatu kucheza faulo kapigiwa kipenga hakusikia Sasa mashabiki na wadhamini wa timu wameng'amua kuwa beki tatu anausajili feki Sasa kaambiwa aonyeshe usajili anasuasua
 
Kuna wengine tulisema yule alikuwa straika mzuri kwa sababu alifunga sana magoli ya penalt.
Pia straika huyu huwa ana hasira hata kipindi kike yuko mchangani mara nyingi marefarii walimpa kadi za njano au kukataa magoli yake ya kuotea.
Pia watu wanao mfaham walisema straika huwa ana roho mbaya kwao hata wanawe tu wana muogopa hali hii huathiri hata uchezaji wake kuwa ni wa rafu sana.
Sasa tume mpa nafasi acheze na kumpa ukapteni, sijui timu yetu itashindaje !!!

Usajili ujao tusikosee jamani

iko

Usajili ujao inabidi tuwe na maskauti wabobevu
 
Vumilieni,mbona sie Man United tuko nafasi ya sita,na jana tumeichezea shillingi chooni...?
Tulieni!
 
striker vurugu tu uwanjani anaacha kucheza namba yake yeye kila namba anacheza mara yuko nyuma hatulii uwanjani hayo magoli atafungaje. benchi la ufundi inabidi limwambie atulie kwenye namba yake vinginevyo dk 90 zitaisha hatujapata chochote. Halafu naona kama marefa wanamwogopa anacheza rafu hawampi onyo
 
striker vurugu tu uwanjani anaacha kucheza namba yake yeye kila namba anacheza mara yuko nyuma hatulii uwanjani hayo magoli atafungaje. benchi la ufundi inabidi limwambie atulie kwenye namba yake vinginevyo dk 90 zitaisha hatujapata chochote. Halafu naona kama marefa wanamwogopa anacheza rafu hawampi onyo
marefa wa kisasa hao
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom