Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
Thanx 4ur vote Madabhali Jnr
Last edited by a moderator:
Kundi a
ciello
fp
kundi b
lara 1 (mtu kujipenda)
kipipi
PIGA KURAKwanza uelewe kuwa hapa nakupa makavu ya fasta kabla sijachangia, naona unatufanya watoto hapa. Ruhazwe JR hapa ingawa ni chit chat unakosea sana kwani last time ulikosea na ukasema utarekebisha. Despite kuwa tulilalamika ukaaidi kutorudia makosa. Sasa kosa lako ni hili; kuanzia tarehe 25 October ndiyo ungestopisha kupendekeza majina na kuanza taratibu hizi unazoanza leo, tena baada ya kuanza kushambuliwa na members hasa mzee wa mia figganigga. Ni vema basi tarehe 1 kila mwezi ikifika tukawa na miss mpya badala ya kumpata miss tareha 3 au 6 ya mwezi.
Ingawa umejitetea lakini bado ulikuwa na nafasi ya kumPM member yeyote umtakaye aendelee na utaratibu kwa kufuata utaratibu ambao ungempa wewe. Haileti maana members wanachangia thread mpaka posts zimekaribia 300 you just sit and watch. Tusiporekebishana tunamngoja nani? Ni hayo tu.
Niwatake radhi kwa kuchelewa.
yafuatayo ni majina ya washiriki
KUNDI A
1. Ciello
2. @FP
3. charminglady
4. pretty n
5. snowite
KUNDI B
1. Arabela
2. Natalia
3. CUTE
4. Kipipi
5. lara 1
MASHART/JINSI YA KUPIGA KURA
a/ chagua majina mawili toka kila kundi,mfano kundi A sara na halima,Kundi B asha na fatuma
b/ kura halali ni one member one vote
c/ washiriki wanaruhusiwa kujipigia kura kura/kumpigia kura mtu wampendaye
d/ Mchakato wowote wa kuomba kura una ruhusiwa
Nawasilisha
Ruhazwe JR
A
charminglady
pretty n
B
Arabela
Natalia
naomba nafasi ya ujaji please.
kundi A
Charminglady vs Ciello
kundi B
Cute vs Kipipi
Ciello and Kipipi.