OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,087
- 103,318
Kama kawaida wanaJF hakuna kinachotupita. Ligi kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni huku Simba ikijichukulia ubingwa kwa rekodi ya bila kufungwa.
Tukiwa tunaelekea ukingoni kabisa mwa ligi kuu napendekeza tupate maoni mwa mashabiki na wapenda soka wa JF,ni nani anafaa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu?
Kwa upande wangu kichwa kinauma. Wachezaji kama Okwi, Bocco,Kichuya,Kiyombo,Aishi Manula, Mkude wameonyesha kiwango kizuri sana,lakini ni mmoja tu anapaswa kuwa mchezaji bora. Piga kura mwanaJF ni nani anafaa kuwa mchezaji bora
Tukiwa tunaelekea ukingoni kabisa mwa ligi kuu napendekeza tupate maoni mwa mashabiki na wapenda soka wa JF,ni nani anafaa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu?
Kwa upande wangu kichwa kinauma. Wachezaji kama Okwi, Bocco,Kichuya,Kiyombo,Aishi Manula, Mkude wameonyesha kiwango kizuri sana,lakini ni mmoja tu anapaswa kuwa mchezaji bora. Piga kura mwanaJF ni nani anafaa kuwa mchezaji bora