SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Maonesho ya vikaragosi yaliyoanzishwa na tar TV na kupewa jina la Pickaborn Puppet Show ni onesho zuri sana lililojaa ucheshi wa kweli. Wahusika wanatumia lafudhi za makabila mbalimbali hapa nchini, mmoja wa wahisika aitwaye Ndeshau anatumia lafudhi ya kichaga na anaschekesha sana. Vikaragosi vimeandaliwa na msanii maarufu wa vikaragosi hapa nchini Bwana Mwampembwa.
Big up Star TV kwa kubuni onesho hili ambnalo ni burudisho la kweli, kwa maoni yangu. Kile kipindi chenu cha Futuhi kulinganisha na Pickaborn hakitakuwa na washabiki wengi - again , kwa mtazamo wangu.
Big up Star TV kwa kubuni onesho hili ambnalo ni burudisho la kweli, kwa maoni yangu. Kile kipindi chenu cha Futuhi kulinganisha na Pickaborn hakitakuwa na washabiki wengi - again , kwa mtazamo wangu.