samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,953
Hi guys,
Kwanini wajameni imekuwa hivi, vazi la sirini kuwa hadharani kiasi hiki si za kike wala za kiume kwanini lakini. Madukani ziko hadharani, wamachinga wanatembea nazo mitaani, kwenye matangazo ndio usiseme hebu tuambiane ile siri ya zamani imekumbwa na nini?
Kwanini wajameni imekuwa hivi, vazi la sirini kuwa hadharani kiasi hiki si za kike wala za kiume kwanini lakini. Madukani ziko hadharani, wamachinga wanatembea nazo mitaani, kwenye matangazo ndio usiseme hebu tuambiane ile siri ya zamani imekumbwa na nini?