Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
swala sio kunyimwa hela wala kukaa bila kutumika swala ni kuzitumia kwa maslahi ya walengwa sio kuzitungia sheria za ajabu ajabu.Ulienda kudai hela yako NSSF ukanyimwa?
Unafikiri fedha inayokaa NSSF ikikaa tu bila kufanyiwa kazi itazaa na kukupa faida?