Pichani, Daraja Kigamboni hiloo... Kigamboni yakufikirika yawa kweli

ndio ukweli, na hata kama hili daraja lina uwezo huo si rahisi kuisoma picha kwa vile picha hajapigwa kwa kiwango cha vipimo vya kujua upanda wa daraja. Mpiga picha alijitahidi kuvuta lens ili kupata taswira ya hatua za ujenzi ilipofikia, huenda tunatoa hitimisho mapema kabla hatujawa na uhakika w...

Madaraja kama haya ambayo tunaona picha zake, si rahisi kujua yana lane ngapi, kwa vile picha haiwezi kutoa scale ya ukubwa.

kwenye picha ya pili kuna scale.
Linganisha watu hao na lane ya daraja / daraja lenyewe.
 
Daraja halijajengwa na kodi za wananchi, bali ni mwekezaji ambaye daraja hilo tutalivuka kwa kulipia. Sijajua itachukua miaka mingapi mwekezaji kurudisha gharama kisha tupate huduma bure.

Watanzania kwa kupenda dezo.......subiri mpaka wanachama wa NSSF wapate hela zao walizowekeza hapo.
 
Kilimo kwanza haihusihi power tiller pekee, sijui unachotaka kubishana hapa nini? hapa kuna mada ya daraja la Kigamboni na limeshaanza kujengwa.

Kama unataka tuanze kuongelea Kilomo kwanza na matractor, nakuomba sana funguwa nyuzi ntakuja tulumbane kwa hoja.

Iwe power tiller au tractor au jembe la mkono, kumbuka kuwa Kikwete amekuwa mfano wa kuigwa Duniani (rikodi nyingine kwa Jakaya Mrisho Kikwete) kwa initiative yake ya mpango wake wa SAGCOT ambayo ni part and parcel ya Kilimo Kwanza kama ilivyo power tiller na mengineyo, au hulijui hilo?

Kikwete anafanya kweli, katika kila nyanja:

The eight most industrialized countries have pledged 897 million US dollars support to Tanzania under the new alliance to bolster agriculture and food security in Africa announced by President Barack Obama last Friday.

President Jakaya Kikwete, who attended a G8 special session on Africa at Camp David near here on Saturday, said in an interview yesterday that the US made the largest single pledge of 315 million dollars.

Soma zaidi:
Tanzania Clinches Multi-Million Dollar Agriculture Deal | AfricanLiberty.org

Mie sibishani nilishafunga mjadala siku nyingi hii ya power tiller ilikuja wakati wa conclusion nilipokuwa natoa pongezi zangu kwenye masuala ya upembuzi yakinifu wala sina nondo kiukweli kama ni kubishana nilikuwa natoa observation za kijijini kwngu namna ya viongozi wangu huku chini wanavyotafsiri tofauti na waliopo at national level, hivyo sina nondo hapa. Naona unafagilia uombaomba wa 897 million USD (alafu mnawafukuza ndugu zake Matonya wasiombe wakati nyie mnaomba), siku njema bwana zomba
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu wa mwekezaji kujenga daraja kama hili ni kitu kigeni kwa nchi maskini kama Tanzania, lakini mataifa makubwa ni jambo la kawaida, ndio maana ukienda huko UK, USA, Canada na kwingineko utakutana na madaraja ya kulipia unapovuka na barabara za kulipia kila baada ya kuendesha umbali fulani kwa baadhi ya barabara kuu. Hii ni kwa sababu ujenzi wako ulitolewa kwa mkopo kutoka kwa mwekezaji au mashirika ya fesha. Daraja au barabara itakuwa mali ya serikali baada ya gharama za toso ushuru wa watumiji kumaliza deni na riba yake.

Ninavosikia hata hili daraja litakuja kuwa bure baadae baada ya kulipa deni, sijui kama ndoto hii nilosikia ni kweli au uongo ! kwa Tz wanavopenda pesa za walalahoi ! sijui kama hili litawezekana. Kule UK kuna daraja nilishawahi kupita siku za nyuma unatoa pound 1 ila ni mara moja tu si mara mbili. sasa sijui hapa kwetu itakuwaje
 
mi nasubiri hicho kijengwacho kimalizike kwanza ndio niweke comment,
Isijekuwa hapo tunapoliona leo ndio wamemaliza, inawezekana ni mchakacho wa kupunguza mwendo wa kupiga mbizi kwa wale waogeleaji wa Magufuri....chezeya serikali
 
Picha+no+9.jpg


Picha+no+8.jpg



Mimi ni mmojawapo ambaye sikupenda kupata kiwanja cha kujenga Kigamboni sababu ya tatizo la kusubiria ferry. Leo ninapoona hili daraja naanza kubadili mtazamo wa kuona Kigamboni si kisiwani tena. Mwenye kiwanja cha Ekari moja mpaka mbili nipm, niko tayari kwa gharama yo yote kwani sasa naona Kigamboni yawa kama :A S 465:Long Island beach ya NY.:A S 465:

Hata nikipata pale Vijibweni sawa tu, maana huko karibu na beach kabisa nako mawimbi ya bahari yakitikisika kwa kishindo cha tetemeko balaa kufunikwa na maji ya chumvi.

Mkuu hauogopi vimbunga kama Katrina na Tsunami!
 
mbali na madhaifu ya jk ila kwa hili ameacha historia nyingine ktk uongozi wake.
Nampa big up sana,
serekali ikiamua inaweza,
tatizo ni utayari wa viongozi wetu kutuondoa ktk umasikini.
 
Haka kadalaja sijui katakuwa kanapitwa vitz tu peke yake? kwanini plan isewe 4 ways?
tatizo planner wa kibongo wanaproject 2 years to come not 50 years to come

Dada huo ujenzi ndo unaanza tu, daraja litakuwa na njia sita (six lanes)
 
mbali na madhaifu ya jk ila kwa hili ameacha historia nyingine ktk uongozi wake.
Nampa big up sana,
serekali ikiamua inaweza,
tatizo ni utayari wa viongozi wetu kutuondoa ktk umasikini.

Wakupewa sifa zaidi ni Dr. John Pombe Magufuli. Kwani ujenzi huu ulikuwepo kwenye mipango siku nyingi sana. Kikwete kwa chuki binafsi akamwondoa Magufuli kwenye wizara hiyo mara tu baada ya kuingia madarakani mwaka 2005 na kumweka homeboy wake Kawambwa, kisha fisadi Chenge mpaka alipokuja kushauriwa na akina Mkapa amrudishie hiyo wizara ili mambo yaende na walau kuipa CCM credit kidogo.
 
siamini kwa tanzania kweli tunajengewa kijidaraja kama hiki inamaana haiwezekani kujenga daraja la kutosha semi trailler kupishana?
 
Wapendwa kweli tunafurahi sana kwa hatua tuliyopo.

Lakini kwa kusema ukweli ni kwamba kutokana na vyanzo vya uchumi vilivyopo Tanzania tulistahili kufikia hatua ya juu sana.

Kwa hali yetu hili daraja tutaona ni kitu kikubwa sana kwani tumezoea madaraja ya mbao na miti ya minazi tu.

Tunapaswa tuwe katika vitu kama hivi.


ChinaRoads.jpg

Leo hii Watanzania tunaupigia kura mlima Kilimanjaro uingie katika maajabu ya Dunia, mwakani tutalipigia kura daraja la Kigamboni liingie katika maajabu ya Dunia kwani jambo geni sana kwetu.

MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Ninavosikia hata hili daraja litakuja kuwa bure baadae baada ya kulipa deni, sijui kama ndoto hii nilosikia ni kweli au uongo ! kwa Tz wanavopenda pesa za walalahoi ! sijui kama hili litawezekana. Kule UK kuna daraja nilishawahi kupita siku za nyuma unatoa pound 1 ila ni mara moja tu si mara mbili. sasa sijui hapa kwetu itakuwaje

Kwa kawaida huchukua miaka, mbona NY na NJ ni zaidi ya miaka 25 watu bado wanalipia huduma za vivuko, madaraja na baadhi ya barabara
 
Hili ni dRAJA LA MUDA. KAZI YAKE NI KUPITISHIA VIFAA VYA UJENZI WA DARAJA LENYEWE. MIE NINA EKA MBILI NAUZA ZIKO MWASONGA. MOBILE 0658843632
 
Daraja pichani ni la muda kwa ajili ya kupitishia vifaa vya ujenzi wa daraja lenyewe. Daraja litajengwa mita kama hamsini kulia kwa hilo daraja la muda. Daraja ni9 la chini sio la kuruhusu meli. Bandari ipo kushoto kwa hilo daraja.
Kwa ajili ya plots tuwasiliane mimi niko Vijibweni mahali barabara ya daraja itapita. Jiandae kuanzia milioni mia bee
 
Back
Top Bottom