Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mheshimiwa Zitto Kabwe Kisalimiana na Rais Mstaafu Wa Zambia Mzee Kenneth Kaunda leo ofisini kwake Lusaka,Zambia
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mheshimiwa Zitto Kabwe Wakifurahia Jambo baada ya kumkumbusha uamuzi wao na Nyerere kuhusu Biafra. Heshima kwa Waasisi wa bara la Afrika.Picha na Zitto Kabwe(MP)
Source:Haki ngowi Blog.