Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Hehe...jitejenye na uendelee kucheka hivyohivyo.Ingependeza zaidi mambo haya yakafanyika kupitia umoja wa wapinzani na wanaharakati wengine wa humu nchini wanaotaka uchaguzi huru na wa haki.
Ingependeza zaidi mambo haya yakafanyika kupitia umoja wa wapinzani na wanaharakati wengine wa humu nchini wanaotaka uchaguzi huru na wa haki.
Ingependeza zaidi mambo haya yakafanyika kupitia umoja wa wapinzani na wanaharakati wengine wa humu nchini wanaotaka uchaguzi huru na wa haki.
Halafu Waislamu tupu (masharubu yao) Zito Kabwe anazidi kuwachongea Waislamu wa TZ kwa D.Trump, moja kati ya sababu ya nchi yetu kupigwa biti ni Uislamu pia, ingawaje hamtaki kukubali.
Ndio maana mnawaogopa MabeberuMwenzako yuko huko kutafuta pesa za mabeberu na watz wabeba mabox unafikiri yuko hupo kwa manufaa yako!
Huyu anajua watu wamepania kumtoa ndio maana anahangaika"Tumefika salama Toronto, Canada. Tunaendelea na ziara yetu ya kimataifa, kuonana na Watanzania wanaoishi nje ( diaspora) na kuzungumza na Serikali za Nchi hizo na Taasisi za Kimataifa ili kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa Tanzania unakuwa Huru, wa Haki na unaoaminika."
View attachment 1344360
"Tumefika salama Toronto, Canada. Tunaendelea na ziara yetu ya kimataifa, kuonana na Watanzania wanaoishi nje ( diaspora) na kuzungumza na Serikali za Nchi hizo na Taasisi za Kimataifa ili kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa Tanzania unakuwa Huru, wa Haki na unaoaminika."
View attachment 1344360
Sioni connection na uislamu, hili ndugu yangu naomba tusiliingize. Hakuna connection, andika tena na Neema ya Mungu ikutangulieNdiko Zito Kabwe anakokwenda lkn hilo litaback fire big time, anataka sasa kuutumia Uislamu kwenye Siasa umkingie kifua, kumbuka tukio la kupotea kwa CAG kwamba alitekwa, aliyetengeneza ni nani?
Acha unaa wewe! Saudia ni rafiki mkubwa wa US jee wao ni Pentekoste?Halafu Waislamu tupu (masharubu yao) Zito Kabwe anazidi kuwachongea Waislamu wa TZ kwa D.Trump, moja kati ya sababu ya nchi yetu kupigwa biti ni Uislamu pia, ingawaje hamtaki kukubali.
Sioni connection na uislamu, hili ndugu yangu naomba tusiliingize. Hakuna connection, andika tena na Neema ya Mungu ikutangulie
Wakiwahusisha Chadema tu watakuwa wamejimaliza wenyewe!Ingependeza zaidi mambo haya yakafanyika kupitia umoja wa wapinzani na wanaharakati wengine wa humu nchini wanaotaka uchaguzi huru na wa haki.