ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,242
- 8,323
hiyo ndio life style ya ma celebrity karibia wote wa magharibi na ulaya...ukiangalia MTV utasikitika kabisa hapo bado nje angalia parking yake ndio utashangaa kama ni mpenzi wa porch and fancy cars..................wangeangalia africa tunavyokufa kwa kukosa aspirin duuu wangekuja hata kujenga zahanati.....au kutoa msaada wa kununua madawa.....hasa wamama na watoto
Acha wajinafasi tu ndugu yangu, hiyo misaada yenyewe tukiletewa inaishia kwenye matumbo ya wajanja wachache, huyo mama mjamzito na mtoto wa kijijini hakuna hata anaemkumbuka