Tukiacha uhalisia wa tukio ila huyo mbwa ni hatari aisee akakamata sehemu kuachia ni ngumu sana.yaani mnaweza jikusanya watu zaidi ya wanne kumuachanisha mkashindwa...hata mmpige namna gani.Tafuteni clip youtube mshuhudie matukio yake%
Huyu kauwawa na kitu au mtu mwingine ila mbwa alikunywa tu damu au kwa upendo alikuwa akijaribu kumuamsha bosi wake au kumuokoa wakati wa mapambano. Kimbwa gani hichi cha kuua mtu kwa kumuuma hadi kukata shingo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.