Picha Zinatisha: Akamatwa na kichwa cha binadamu huko Mbeya

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,680
22,685
Katika hali ya kushangaza wengi mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiashara huko Mkoani Mbeya, amekamatwa na kichwa cha binadamu baada ya kufukua kaburi na kachukua kichwa cha marehemu, inadaiwa alifikia maamuzi hayo ili afanikiwe kibiashara.
uploadfromtaptalk1467568850933.jpg
uploadfromtaptalk1467568866319.jpg
 
Daah kweli picha inatisha. Kwa jinsi kichwa cha maiti kinavyoonekana ni rahisi kwa ndugu kumtambua mpendwa wao aliyefukuliwa na kunyofolewa kichwa chake. Fikiria maiti iwe ni ya ndugu yako kisha uone kichwa chake kimekatwa na kubebwa vile!
 
Back
Top Bottom