Kimya kimya mkuu, tumejiajiri tukale wapi sasa kama sio sadaka?Mbeya ndio mkoa pekee wenye makanisa mengi ila cha ajabu mambo ya ushirikina ndio yamezidi.
Yawezekana huwafahamu vizuri.wale asili yao ni iringa lakini ndio wamejikita sana katika mkoa wa mbeyaSa wale wanatokea Mbeya?hrf mbona pamoja na kuwa na magorofa k.koo hawana matukio ya ajabu kama ya hawa Ndugu zetu wa nbeya?