Hiyo sura ni inaonyesha ni mjukuu wa kule kwa mwakipande na mseketwa, wazee wa mapelelo vavenesio kabila la wale wenye magorofa kkoo
Lile liko mkoa wa Njombe Mkuu.sio kabila la wale wenye magorofa kkoo
Alipo MUNGU na shetani hujihudhurisha..Dah Mbeya mbona wana ongoza kwa kuihubiri Injili sana.
kibichii damu bado ipo uwii aghrrrJamaa ni mfanyabiashara huko
mbeya kachukua kichwa cha marehemu kwa kufukua kaburi ili afanikiwe kibiashara.
View attachment 362639View attachment 362640
kwani nimebisha ndugu wala sijalalamika nashangaa tu damu bado inamtiririka marehemuPicha zinatisha, ulitaadharishwa kabla
mwanjelwaMbeya sehemu gani?
hakuna mkoa una wachawi kama Mbeya.....biashara zote zinaendeshwa kishirikinaTunaweza kuchangia hii habari lakini isiwe ya kweli naomba mod wathibitishe kwanza:
1.Huyo mtu amekatwa maeneo gani Mbeya?
2.Je hizo ni taarifa za Polisi?
3.Tukio hilo ni zito na lina dhalilisha mkoa wa Mbeya na makabila yake sasa watu wanaweza kutoa maoni kwa tukio hewa
4.Tukio limetokea lini maana kwa uzito wake lisingekosekana kwenye Tv leo
Angalizo
KUNA TENSION YA MIKUTANO YA CCM DODOMA HIVYO TUNAWEZA KUONDOLEAA KWENYE MAMBO YA MSINGI NA KUANZA KULAUMIANA
ANGALIA SUALA LA MUNYIKA