The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,405
- 9,233
sio kabila la wale wenye magorofa kkoo
Hiyo sio sura ya Kikinga mkuu...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kabila la wale wenye magorofa kkoo
Na mbeya ndo kuna kanisa kila baada ya nyumba 10..watu wa huko wakarimu kwa matendo na kwa muonekano ila wana matukio yao nomaaa sanaaaa
huyo mbona kama anaonekana alitumwa tu sio end userHiyo sio sura ya Kikinga mkuu...!!
Wakinga..sio kabila la wale wenye magorofa kkoo
Tunaweza kuchangia hii habari lakini isiwe ya kweli naomba mod wathibitishe kwanza:
1.Huyo mtu amekatwa maeneo gani Mbeya?
2.Je hizo ni taarifa za Polisi?
3.Tukio hilo ni zito na lina dhalilisha mkoa wa Mbeya na makabila yake sasa watu wanaweza kutoa maoni kwa tukio hewa
4.Tukio limetokea lini maana kwa uzito wake lisingekosekana kwenye Tv leo
Angalizo
KUNA TENSION YA MIKUTANO YA CCM DODOMA HIVYO TUNAWEZA KUONDOLEAA KWENYE MAMBO YA MSINGI NA KUANZA KULAUMIANA
ANGALIA SUALA LA MUNYIKA
Kwa kifupi/kwa ujumla Mbeya ndio mkoa pekee ambao ibada zote zina nguvu SanaMbeya ndio mkoa pekee wenye makanisa mengi ila cha ajabu mambo ya ushirikina ndio yamezidi.
huyo ni teja kabisa hata biashara ya kuuza karanga haiwezihuyo mbona kama anaonekana alitumwa tu sio end user
kama alipewa zabuni ya kwenda kukitafuta hicho kichwa kisha akipeleke kwa tajiri apewe pesa yake.hana muonekano wa mfanyabiashara
hao wanaosambaza habari wanadhani watu wote maboya wa kuamini vitu kirahisirahis bila kuvifanyia upembuzi yakinifuhuyo ni teja kabisa hata biashara ya kuuza karanga haiwezi
Usitumie nguvu, Mbeya na Geita,shinyanga,mwanza ni wachawi sana. Lakini si Wote, kuna wengine ni wateule wa Mungu na hopefully we ni mmoja wao.Tunaweza kuchangia hii habari lakini isiwe ya kweli naomba mod wathibitishe kwanza:
1.Huyo mtu amekatwa maeneo gani Mbeya?
2.Je hizo ni taarifa za Polisi?
3.Tukio hilo ni zito na lina dhalilisha mkoa wa Mbeya na makabila yake sasa watu wanaweza kutoa maoni kwa tukio hewa
4.Tukio limetokea lini maana kwa uzito wake lisingekosekana kwenye Tv leo
Angalizo
KUNA TENSION YA MIKUTANO YA CCM DODOMA HIVYO TUNAWEZA KUONDOLEAA KWENYE MAMBO YA MSINGI NA KUANZA KULAUMIANA
ANGALIA SUALA LA MUNYIKA