engineer wa cbg
Senior Member
- May 1, 2020
- 120
- 229
Wengi tumekuwa tukivaa tai mda mrefu pasipo kujua sheria zake,,mimi nlikua ni mmoja wapo
Mi nimezikuta katika ofisi moja ya ummaKikao gani kilipitisha?
Kama ulikua hujui mwezi wa 12 ni national tie month. Kwa wenzetu. Na hizi ni tai pia
View attachment 1609109