R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii, Kasim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa Mpira, Geita leo |
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii, Kasim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa Mpira, Geita leo |
[h=2][/h]
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii, Kasim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa Mpira, Geita leo
[h=2][/h]
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii, Kasim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa Mpira, Geita leo
msaada tutani.....kiongozi wa chama kukabidhi leseni? or is it me???
msaada tutani.....kiongozi wa chama kukabidhi leseni? or is it me???
Machinga wamewachoka wanasalimiwa wamekaa, ingekua people power ungeshangaa moto wake.
Je kuna Tembo huko Geita?
Ulikuwepo huoni Mh anacheza na kutuza ; vaa miwani usitusumbue bure