hawa kweli wanafananaView attachment 1818190
Martin Braithwaite huyu jamaa amefanana na Chriss Brown
View attachment 1818196
Ukizungumzia watu wanaofanana basi ni Ferrari na ozil wengine hao tunawalazimisha tu wafanane
Jamaniii...sasa ulivyomchomekea hata sijui katokea wapi 😂 ?Ni heri nifanane na mtu yeyote duniani lakini sio Magufuli.
Yule mzee ni sheitwani kabisa