Aisee ,lakini mimi nadhani Mashado was the best hotel there,view nzuri sana,yaani beach tu ?nadhani pia wawekezaji hawakuwa makini tu kwani kuna hoteli nyingi hazina beach ,na zinafanya kazi nzuri,kwa kweli nilihuzunika nilipofika pale swimming pool imekuwa kama bwawa la maji machafu,zile nyumba ndogo za kulala wageni zimekuwa magofu,nadhani Mashado ndio hotel pekee yenye view nzuri ya bahari ya hindi ingawa zingine zipo ufukoni kabisa lakini kilima cha Mashado ni kitu kingine,nilisikia mwenyewe ni singasinga wa kiwanda cha mbolea nae ana mambo mengiNi kweli kabisa Mashado ilikuwa hotel nzuri sana hadi ndege ndogo zilikuwa zinatua pale lakini kwa sasa imekufa kabisa na hakuna wa kuiendeleza tena kisa hakuna beach watalii hapawavutii sana
Sikupata muda nilikuwa nalala ile ya kanisa nimesahau jina lake ipo hapo Pangani mjini beach kabisa mbele ya soko la dagaa.Mwkani nitafanya utalii wa ndani hasa kwenye ufukwe wa Pangani,vipi wewe unaishi/mwenyeji wa Pangani?Hujazitembelea baadhi ya hotel za pangani mkuu kama,ushongo,Bahari pori,Mkoma bay, zina madhari nzuri sana
Pia ungekuwa ushauri wangu angebadili yale magodoro aweke ya spring na vitanda vipya ambavyo ni comfy ,vile vilivyopo ni kama tupo chuo.Hapo mimi ni kama nyumbani huwa nikizifuma tu kidogo huwa naenda hapo.Yes lolsss, chef PM Pinda yuko vizuri very social na mtani sana, aliniazima jiko nifanze bbq ya kuku pale beach, jamaa wapo vizuri sana ktk customer services. Na naona kuna haja sana ya yule. Mzungu wa ile lodge aongeze zile water ski za kukodi na vijana zaidi wa guides pale ufukweli. Ni holiday resort tamu sana. I can always recommend that place!
Siku hizi mamba ndio wanaoliwa badala ya wao kuwala watu,ukisikia mamba kauawa basi jua kila anayekimbilia kwenye huyo mamba ana kisu chake kikali,pale ukienda bila kisu hata ukucha huupati,hakuna kuazima kisu cha mwenzio ,baada ya muda mfupi utaona kilichobaki ni damu tu,mwindaji kawa mwindwaji.Mamba wameokoka siku hizi. Hawa watoto wanatumia uzoefu tu. Hapo wote wanajua vizuri kuogelea. Wakati mwingine ni mungu tu anasaidia.
Sikupata muda nilikuwa nalala ile ya kanisa nimesahau jina lake ipo hapo Pangani mjini beach kabisa mbele ya soko la dagaa.Mwkani nitafanya utalii wa ndani hasa kwenye ufukwe wa Pangani,vipi wewe unaishi/mwenyeji wa Pangani?
Hili daraja limenikumbusha mbali.. Mara ya kwanza nilishindwa kuvuka hili darajaKivuko maarufu cha kunesanesa kilichopo mto Kiwira maeneo ya Ndandalo na Ibungu,wilayani Kyela
View attachment 1082893
Tupilike nimekuelewa vyema ila naomba tuwekane sawa
Hakuna Beach matema ambapo viboko wanaishi karibu wanaanzia kule maeneo ya Ngolwa kwenye kivuko kuelekewa lusongo na maeneo kama hayo
Sitaki niongee sana
na viboko wa kule kwa msimu huuu ni vigumu kuwaona maeneo ya karibu
Nimeishi hayo maeneo ya matema njoo lusungo lukwego maeneo mengi sana
Nimelina Mpunga na kuwinda its my home there hebu toa maelezo kwanza vyema kabla utueleweshe, matema eneo lipi umepiga picha hao viboko?
Pia hiyo sio picha ya simu
Hivi huyu siye anayeitwa kipanga kwa kiswahili?? Au nimefananisha!Ndege huyu ni aina ya ndege walao ndege wenzao pamoja na panya,ni hatari kwa vifaranga,ndege hawa nawapiga picha nikiwa sebuleni nyumbani kwangu hapa Kyela,hii ndio faida ya kutunza mazingira ya asili.
View attachment 1074045
Mkuu nikupongeze kwa picha na maelezo mazuri! Nimepitia picha zako zote uliweka mpaka sasa na hakika niseme umepiga vizuri! Si hilo tu lakini thread yako imebeba utofauti na thread nyingi za hapa! Congratulations and keep it up! Nadhani ni wengi wanakufuatilia kama mimi!Siku hizi mamba ndio wanaoliwa badala ya wao kuwala watu,ukisikia mamba kauawa basi jua kila anayekimbilia kwenye huyo mamba ana kisu chake kikali,pale ukienda bila kisu hata ukucha huupati,hakuna kuazima kisu cha mwenzio ,baada ya muda mfupi utaona kilichobaki ni damu tu,mwindaji kawa mwindwaji.
Aah pale ni Sea side hotel ipo ufukweni kabisaa na ipo karibu na kanisa la lutheran mimi binafsi nimekulia pangani japo asili yangu ni tukuyu ukija tena pangani utanijulisha kuna vivutio vingi vya utalii na utamaduni wa mswahili kama ulibahatika kutembelea jengo la pangarithi watu wa uzikwasa wamejaribu kuelezea historia ya mji wa pangani enzi za utumwaSikupata muda nilikuwa nalala ile ya kanisa nimesahau jina lake ipo hapo Pangani mjini beach kabisa mbele ya soko la dagaa.Mwkani nitafanya utalii wa ndani hasa kwenye ufukwe wa Pangani,vipi wewe unaishi/mwenyeji wa Pangani?
Mashado ni best hotel huduma zake zilikuwa si mchezo hata vyumba vyake vilikuwa na hadhi kubwa sana mimi binafsi mama angu amefanya kazi pale miaka ya 90+ wakati hiyo hotel ipo kwenye ubora wake sidhani kama bahari tu ndio ilikuwa chanzo kikuu ukapotea uwekezaji wote ule hata hivyo kulikuwa na magari ya kuwatembeza watalii fukwe mbalimbali na visiwa vilivyopo karibu na pangani naamini kuna jambo jingne kubwa limechangia kufa kwa mashado huwa nahuzunika sana nikipita pale nakuona hotel nzuri imegeuka magofuAisee ,lakini mimi nadhani Mashado was the best hotel there,view nzuri sana,yaani beach tu ?nadhani pia wawekezaji hawakuwa makini tu kwani kuna hoteli nyingi hazina beach ,na zinafanya kazi nzuri,kwa kweli nilihuzunika nilipofika pale swimming pool imekuwa kama bwawa la maji machafu,zile nyumba ndogo za kulala wageni zimekuwa magofu,nadhani Mashado ndio hotel pekee yenye view nzuri ya bahari ya hindi ingawa zingine zipo ufukoni kabisa lakini kilima cha Mashado ni kitu kingine,nilisikia mwenyewe ni singasinga wa kiwanda cha mbolea nae ana mambo mengi
Hapo umenena sina cha kuongezaMashado ni best hotel huduma zake zilikuwa si mchezo hata vyumba vyake vilikuwa na hadhi kubwa sana mimi binafsi mama angu amefanya kazi pale miaka ya 90+ wakati hiyo hotel ipo kwenye ubora wake sidhani kama bahari tu ndio ilikuwa chanzo kikuu ukapotea uwekezaji wote ule hata hivyo kulikuwa na magari ya kuwatembeza watalii fukwe mbalimbali na visiwa vilivyopo karibu na pangani naamini kuna jambo jingne kubwa limechangia kufa kwa mashado huwa nahuzunika sana nikipita pale nakuona hotel nzuri imegeuka magofu
Asante ndugu yangu kwa kunipa moyo,nashukuru.Mkuu nikupongeze kwa picha na maelezo mazuri! Nimepitia picha zako zote uliweka mpaka sasa na hakika niseme umepiga vizuri! Si hilo tu lakini thread yako imebeba utofauti na thread nyingi za hapa! Congratulations and keep it up! Nadhani ni wengi wanakufuatilia kama mimi!
Nitakuja kukutafuta ,tuombe uhai,kwa maana ndio kitu muhimu kuliko vyote,namba zangu ni 0655 585 4890 na 0767 585 490Aah pale ni Sea side hotel ipo ufukweni kabisaa na ipo karibu na kanisa la lutheran mimi binafsi nimekulia pangani japo asili yangu ni tukuyu ukija tena pangani utanijulisha kuna vivutio vingi vya utalii na utamaduni wa mswahili kama ulibahatika kutembelea jengo la pangarithi watu wa uzikwasa wamejaribu kuelezea historia ya mji wa pangani enzi za utumwa
Nadhani ndio huyo huyoHivi huyu siye anayeitwa kipanga kwa kiswahili?? Au nimefananisha!
Afadhali umesema hilo nimewahi kuandika kuwa kuna wakati hao viboko wanakuja ufukweni Matema beach,lakini wengine wakapingaWilaya ya Kyela boko wapo sana hasa maeneo ya kata ya Lusungo. Hao viboko huwa wanaenda hadi Mponda na Mbeje (Ipinda).
Kuna siku mwaka 2017 mwezi wa 1 nilikuwa Matema Hospital walikuja viboko wawili mchana kweupe wakawa wanaogelea ziwani.
Mimi mpaka sasa nimeshindwa kulivuka hilo daraja,moyo wangu huwa mzito,majuzi tu kuna mtoto alitumbukia lakini bahati nzuri alikuwa anajua kuogelea na kulikuwa na watu karibu wakamsaidiaHili daraja limenikumbusha mbali.. Mara ya kwanza nilishindwa kuvuka hili daraja
Hah hah Sogodo ni ile pombe inayotokana na kuchanganya sukari na amira inatoa gesi utadhani kinu cha Nyuklia au ?Utupigie picha ya SOGODO pia