Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Mhh Ruge Mutahaba ndani ya Nyumba, kazi ipo:embarrassed::embarrassed:
Angalia picha ya tatu kutoka juu, huyo wa kushoto, mweusi aliyevaa kotiMkuu hivi Ruge ndo yupi kwenye hizo picha? Mimi simjui ati!!!!
Bwana wee, i`m suprised too. sitashangaa nikiambiwa ni ndugu yake Rostam, mchakachuajiHuyo mhindi aliyemkumbatia huyo dada ni mkewe au makuzi tuu!!
[/QUOTE]
Huyu dogo ndio kusema anaona aibu au??? Mwe!!
Huyo ni Ali Kiba mkuuhuyo msanii gani kafumba macho
cha ajabu huyo dada anaonekana ana mimba hilo valangati lake na mwenye hiyo mimba sijui....Huyo mhindi aliyemkumbatia huyo dada ni mkewe au makuzi tuu!!
kweeeeli Great Thinkers,mh tutafikaAli Kiba anaona aibu kuwa na JK........
I am sure JK is a shareholder too; I will not be surprised
huyu mkwere ameanza kwa kwenda ngomani? B.s, anacha kutengeneza baraza la mawaziri anakwenda kwenye muziki?
Kweli waliomchagua ni sawa na yeye tu.