nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe.
Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.
Nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe Mbagala Kijichi, Dar es Salaam.
Capt. William Silaa enzi za uhai wake.
Filikunjombe akiwaaga wananchi wake.
Mbunge wa Ludewa Mhe. Deogratias Haule Filikunjombe amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa mfanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.
Wengine waliofariki kwenye ajali hiyo ni Vitalis Blanka haule na Ofisa Tawala wa Wilaya ya Tarime, Bw. Egdi Mkwera ambaye alikuwa mtaalam wa mifugo.
Picha hapo chini ni Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
Capt. Slaa... Baba Mzazi wa Diwani Slaa Mgombea Ubunge Gongolamboto
Haya ndio mabaki ya ndege iliyotoa uhai wa wapendwa wetu.. (taswira kutoka kwa F. Godwin, Iringa)
So painful! Inaumiza moyo mno.. Kwanini vizuri havidumu!?
Kiukweli hawakustahili kutangulia kwa namna hii..!! Will always miss you comrades.
May their souls rest in eternal peace..Amen!!