nsangaman
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 275
- 42
Kuwa mwanajeshi na Kufahamu matumizi ya bunduki maana yake siyo kufahamu ulinzi wa Wanyamapori.Wanajeshi wa JWTZ wapewe kazi ya kulinda wanyama kwenye mbuga zetu zidi ya majangili sio kukaa makambini tu na kuota vitambi vya bia na nyamachoma.