MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
[h=3][/h]Tukio hilo lilitokea ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, ambapo Shilole alienda kwa ajili ya kushuhudia shoo ya mwanamuziki huyo.
Akiwa ndani ya viwanja hivyo, Shilole alijikuta akishobokewa na mmoja wa wanamuziki wa Koffi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambapo kuna muda wawili hao walikutwa nyuma ya jukwaa jamaa akiimbisha.
Haikuweza kufahamika mara moja kama Shilole alimkubalia mshikaji huyo lakini wadakuzi wanadai baada ya shoo kumalizika, mwanamuziki huyo alimfuta tena Shilole na kuongozana naye hadi kwenye gari alilokwenda nalo pale ukumbini.
Akiwa ndani ya viwanja hivyo, Shilole alijikuta akishobokewa na mmoja wa wanamuziki wa Koffi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambapo kuna muda wawili hao walikutwa nyuma ya jukwaa jamaa akiimbisha.
Haikuweza kufahamika mara moja kama Shilole alimkubalia mshikaji huyo lakini wadakuzi wanadai baada ya shoo kumalizika, mwanamuziki huyo alimfuta tena Shilole na kuongozana naye hadi kwenye gari alilokwenda nalo pale ukumbini.