Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Kumbe naye bado yuko kwenye stage ya kung'ata vidole?! Au ana mzuga mutu ya kongoman?
wakati mtu ashaanza kutafuna vidole kama kidudu kidogo kalegeea bado kupenyezewa tu.Hii unaiita kumchafua!!??
View attachment 76226
Kwani uyo Shilole ni nani hapa mjini??!
Wewe iko msaire
vipi akikupa hukubali?Mileage 2,000,000km,engine overhauling inahitajika.
hahhaahahahahahahahaaa dah nimecheka ku mama keMileage 2,000,000km,engine overhauling inahitajika.
Hata kama umeleta hizi picha for justification, bado haifuti ujinga alioufanya uchebe, hiyo ni zamani na sahivi amekua ni mtu mwingine muwe mnatofautisha nyakati[h=3][/h]Tukio hilo lilitokea ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, ambapo Shilole alienda kwa ajili ya kushuhudia shoo ya mwanamuziki huyo.
Akiwa ndani ya viwanja hivyo, Shilole alijikuta akishobokewa na mmoja wa wanamuziki wa Koffi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambapo kuna muda wawili hao walikutwa nyuma ya jukwaa jamaa akiimbisha.
Haikuweza kufahamika mara moja kama Shilole alimkubalia mshikaji huyo lakini wadakuzi wanadai baada ya shoo kumalizika, mwanamuziki huyo alimfuta tena Shilole na kuongozana naye hadi kwenye gari alilokwenda nalo pale ukumbini.
vipi akikupa hukubali?