Ubabe wote ule wa Bush anamkubali Obama kiac hiki?
Hata kama hamkubali hana jinsi ... Obama ameshika hatamu kwa sasa.
Ubabe wote ule wa Bush anamkubali Obama kiac hiki?
Do! Wale wa mbezi zote, yaani mbezi ya kimara na mbezi ya beach wanajiuliza nyumbani watafika saa ngapi make foleni zinatisha, walio wengi wanaenda nyumbani kupiga mswaki na kubadili nguo afu warudi ofisini.
Walio wengi Dar kuondoka ofisin saa 11 kufika nyumbani saa sita usiku, kurudi kesho yake kazini kuamka saa 10. Alfajiri. Ndo maana walio wengi wanasisitiza mpango wa uzazi, hakuna muda wa kutoa madozi kwa wenza wao! Obama endelea kutanua make hapa Tanzania CCM ilisha tuondolea matanuzi hayo
kama laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, air force one ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Kama Laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, Air Force One ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Hewanguvu mojaKama Laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, Air Force One ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Kama Laptop kiswahili chake ni kompyuta mpakato, Air Force One ni nini? Kwa wataalamu wa kiswahili tu.
Behind-the-scenes photos from Air Force One show the Obamas mingling with the Bushes and Hillary on journey to South Africa for Mandela's memorial
naamini tutalamba udongo lami kabisaa, sio kula majani tena!nikiwa waziri lazima rais wetu anunuliwe kama hilo!:A S-confused1:
Tehe! Tehe! Tehe!........
hii level ya demokrasi ni ngumu sana kufikia huku kwetu mtu kama wassira anaweza zungumza mbele ya kadamnasi kwamba nafasi ya wapinzani kwenda ikulu kunywa chai haipo!!!! alafu ndio waziri huyo!!!
Hivi lile lilo tulisha majani liko hivi??
ha haaa, nimemkumbuka Lipumba, aliwahi kuhoji ndege ya rais mnasema ina gym, ina maana rais atakuwa ananyanyua vyuma wakati ndege inapaa?Sidhani kama lipo hvyo..mana tungekula mizizi badala ya majani..
Ubabe wote ule wa Bush anamkubali Obama kiac hiki?
ha haaa, nimemkumbuka Lipumba, aliwahi kuhoji ndege ya rais mnasema ina gym, ina maana rais atakuwa ananyanyua vyuma wakati ndege inapaa?