Kipis
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 492
- 61
Mimi nadhani hawa jamaa wanachokifanya ni kuhisi. Hawana uhakika wa moja kwa moja kama ni yeye hasa ndiye muuwaji.
Unaweza ukaichora picha,bila kuifananisha na mtu yeyote lakini ajabu kutokana na maumbile ya binadamu picha hiyo inaweza kukutwa ina shahabiana na mmoja kati ya watu ambao tuponao kwenye jamii hii tunayoishi.
Unaweza ukaichora picha,bila kuifananisha na mtu yeyote lakini ajabu kutokana na maumbile ya binadamu picha hiyo inaweza kukutwa ina shahabiana na mmoja kati ya watu ambao tuponao kwenye jamii hii tunayoishi.