My simple advise to Mnyika:
Dont let fame get to your head be calm and collected.
Kama una bifu na JK, jaribu kulinganisha notes na Godbless Lema.
Wewe ni mmoja wa vijana wenye akili CDM, dont go to waste!
Pasua tu ujinga utakuwa wako,sasa ulitaka ulitaka awe kama ile nati ya mtera.Oil Chafu
Bungeni kuna mambo ehn, hao jamaa wamevaa groves za nini?
My simple advise to Mnyika:
Dont let fame get to your head be calm and collected.
Kama una bifu na JK, jaribu kulinganisha notes na Godbless Lema.
Wewe ni mmoja wa vijana wenye akili CDM, dont go to waste!
hapo kwenye red nimependa.jK ni dhaifuuu , dhaifu saana, hata watoto wa awali wanalitambua ilo , after all kuwa dhaifu sio tusi , ni sifa, sifa ya raisi wa tanzania
Hebu angalia anatoka akiwa anatabasamu utafikiri kafanya jambo la maana. Kweli dogo kaonyesha udhaifu wa juu sana
umesema Komba ni portable!!!?msikubali kunenepeana wabunge wa CDM...unene unaleta kufikiri kudogo sana...waandgalieni wenzenu wanavyopata shida kusoma na kutafakari...mengine yamelala tu...ungalia wewe baba mwepesi hata kufikiri baba...CDM juuuuuu
Chadema mna akili lakini mnashindwa ku2mia akili na nidham katika kusolve mambo na matokeo yake ndo kama haya mwalopoka ovyo.Hii iwe fundisho kwa wengine.
Mweshimuni rais wa nchi na tumieni busara ktk kumkosoa.
Bungeni kuna mambo ehn, hao jamaa wamevaa groves za nini?
Kama ilifikia hatua hela za kusafiria kwenda nnje ya nchi kupotea kwenye mazingira ya kutatanisha Ikulu hii pia kwa JK ni UDHAIFU!
You don't have moral authority to advise hon. Mnyika.My simple advise to Mnyika:
Dont let fame get to your head be calm and collected.
Kama una bifu na JK, jaribu kulinganisha notes na Godbless Lema.
Wewe ni mmoja wa vijana wenye akili CDM, dont go to waste!
JK ni dhaifu na legelege sana