edbildudeky
New Member
- Aug 27, 2009
- 1
- 0
inasikitisha sana na kutia uchungu mno...mungu awapumzishe pema marehemu ndugu zetu. Amen
ni kweli inasikitisha hil janga la moto katika bweni huwa halitokei mara kwa mara lakini linapotokea damage inakuwa at its maximum mimi nadhani ni vyema kama wangefanya instalation ya fire and smoke detectors huko mabwenini ili kuwa alert watu kama kutatokea toke ajali za namna hii