Jamani jamani ,machozi yananitoka,jamani this must be stopped,wahusika wa mashule ,majengo etc,jamani wawe makini,mimi huwa naamini sometime wanatake for granted kwakuwa hawajaexperience haya mauchungu,ingetokea kw mmojawapo ,action ingetake place mapema,kuna wataaalamu hapa wa moto jamani fanyeni kazi ,hawa wanafunzi ni watoto wa watu,pia ni viongozi wa baadae sasa kama tukiwapoteza kwa njia hii athari ni kubwa sana hata kwa wanaobaki,please please serikali do something.