Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,613
- 20,938
Huyu jamaa alikosea nini mpaka akawekewa grill namna hii
Kuna sehemu nilisoma zile enzi za tetesi za vampire na zombies sasa mtu kama alikuafa na alikua anahisiwa kuwa ni vampire au anakauhusiano flani hivi na mambo ya zombies alikua akifa kaburi lake linapigwa sealed za nondo kama hivyo ili akifufuka katika hali ya vampire basi asiweze kutokaHuyu jamaa alikosea nini mpaka akawekewa grill namna hii
vampire is a sort of spirits anazuilika kwa grillsKuna sehemu nilisoma zile enzi za tetesi za vampire na zombies sasa mtu kama alikuafa na alikua anahisiwa kuwa ni vampire au anakauhusiano flani hivi na mambo ya zombies alikua akifa kaburi lake linapigwa sealed za nondo kama hivyo ili akifufuka katika hali ya vampire basi asiweze kutoka
Itakuwa alikuwa na tabia ya kutoroka toroka .Huyu jamaa alikosea nini mpaka akawekewa grill namna hii
Kwa mujibu wa source niliyosoma wananchi ndivyo waliaminivampire is a sort of spirits anazuilika kwa grills
Hapo hata miaka mia mbili bado watakuja kuona kaburi la babu wa babu wa babu yao
😂😂😂😂😂😂Alafu ni copper haziwezi kuoza