Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Na Prince Andrew pia. Ile skendali yake na yule mzee Mwenzake ilimfanya ajiondoe public duties hivyo naye alikuwa asivae uniform. Ila huyu HRH The Majesty ni akili kubwa sana.Wanaume wote wa Royal Family ni maofisa wa jeshi na walitakiwa leo wote wavae sare za jeshi kumuaga Prince Philip. Lakini kwakua Harry amevuliwa vyeo vyake vya kijeshi, Malkia amesema wote wavae suit wasiwe tofauti na Harry. Malkia ametumia busara kubwa.